Monday 22 May 2017

MATUKIO KATIKA PICHA MWENGE WA UHURU 2017 HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI TAREHE 14.05.2017

 Mwenge wa Uhuru ukiwa kwenye eneo la makabidhiano katika kijiji cha Nanyindwa kata ya Chiwale tayari kwa kuanza kukimbizwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi.
 Kati Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi wakiushangilia mwenge eneo la mapokezi
  Waheshimiwa madiwani wengine wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi  wakiushangilia mwenge eneo la mapokezi
 Mwanakikundi akitoa maelezo mbele ya mkimbiza mwenge kitaifa ndugu Bahati Lugodisha eneo la lukuledi kabla ya kukabidhiwa hundi za mikopo.
 Wakimbiza mwenge kitaifa wakiwa katika picha ya pamoja na wananfunzi wa shule maalumu ya lukuledi wenye ulemavu wa kutokusikia

 Viongozi na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Masasi mhe. Selemani Mzee wakiwa kwenye eneo la kukabidhi mwenge wa uhuru wilaya ya Newala baada ya kumaliza kuukimbza katika Wilaya ya Masasi.


Watu wakicheza wakiwa wanasubilri kukabidhiwa Mwenge wa Uhuru



 

No comments:

Post a Comment