Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mhe LEODGER Chilala (wa kwanza kushoto) wakati akifungua mkutano wa baraza la Madiwani la kujadili na kupitisha Rasimu ya Bajeti kwa mwaka 2019/2020 ( wa katikakti ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Bi Changwa Mkwazu)
Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi ndugu Jelemiah Lubeleje akiwasilisha Rasimu ya Bajeti kwa kwa mwaka 2019/2020
kwenye mkutano wa baraza la Madiwani la kujadili na kupitisha Rasimu ya Bajeti leo tarehe 12.02.2019
Waheshimiwa madiwani wakiwa kwenye mkutano wa baraza la Madiwani la kujadili na kupitisha Rasimu ya Bajeti leo tarehe 12.02.2019
Waheshimiwa madiwani wakiwa kwenye mkutano wa baraza la Madiwani la kujadili na kupitisha Rasimu ya Bajeti leo tarehe 12.02.2019