Tuesday 12 February 2019

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI LAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BIL 34.4 KWA MWAKA 2019/2020


 Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mhe LEODGER Chilala (wa kwanza  kushoto) wakati akifungua mkutano wa baraza la Madiwani  la  kujadili na kupitisha Rasimu ya Bajeti kwa mwaka 2019/2020 ( wa katikakti ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Bi Changwa Mkwazu)


Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi ndugu Jelemiah Lubeleje akiwasilisha Rasimu ya Bajeti kwa kwa mwaka 2019/2020 
 kwenye  mkutano wa baraza la Madiwani  la  kujadili na kupitisha Rasimu ya Bajeti leo tarehe 12.02.2019
Waheshimiwa madiwani wakiwa kwenye mkutano wa baraza la Madiwani  la  kujadili na kupitisha Rasimu ya Bajeti leo tarehe 12.02.2019

 Waheshimiwa madiwani wakiwa kwenye mkutano wa baraza la Madiwani  la  kujadili na kupitisha Rasimu ya Bajeti leo tarehe 12.02.2019